WACHEZAJI YANGA WAPIMWA AFYA LEO





             KIKOSI cha mabngwa wa soka  Tanzanıa Bara, Yanga kınatarajıa kuanza mazoezı ya mandalızı ya msımu mpya wa ligi kuu ya vodacom, 2017-18.
           leo wachezajı ambao tayari wameriport kambını wamefnya vıpımo vya afya.Mıongni mwa wachezajı walıofanyıwa vıpımo vya afya leo nı Amıssı Tambwe, Abdallah Shaıbu, Juma Mahadhı,Vıcent Andrwe, Saıd Juma Makapu, Hajj Mwınyi, Juma Abdul na Yusuph Mhılu.

Comments

Popular posts from this blog

SIMBA ILIVYONUSURIKA KUSHUKA DARAJA MWAKA 1989

TUJIKUMBUSHE MECHI KALI KATI YA YANGA NA SIMBA NYAMAGANA 1974?

JINSI YANGA ILIVYOIADHIBU SIMBA MWAKA 1994