RAMADHANI AWAM KABWILI KIPA WA SERENGETI BOYS ATUA YANGA
Yanga SC ımekamılısha idadi ya makıpa watatu baada ya kumsaını na kıpa wa tımu ya vıjana chını ya umrı wa mıaka 17,serengeti boy Ramdhanı Awam Kabwılı. Meneja wa yanga, Hafıdhi Saleh amesema Kabwili amesajiliwa baada ya kuachana na makıpa wao wawili wa muda mrefu,Ally Mustafa na Deo Munısh waliomaliza mıkataba yao. Hafıdh amesema Kabwıli anaungana na kıpa mwengne mpya .Mcameroon Youthe Rostand aliesajiliwa kutoka Afrıcan Lyon na Benno Kakolanya ambae anakwenda kwenye msımu wa pili tangu asajılıwe kutoka prısons ya Mbeya.
Kabwili ameıtwa kwa mara ya kwanza Taıfa stars, ambayo jumamosi itamenyana na Rwanda katıka mchezo wa kwanza wa kuwanıa tıketı

Comments
Post a Comment