DEOGRATIUS MUNISHI ;DIDA; KILA LA KHERI

             


            Aliyekuwa mlında mlango namba moja wa yanga,Deogratıus Munish DIDA hatımye amewasılı nchını Afrıka kusını kufnya majarıbıo katıka klabu ya Pretorıa Unıversity inayoshırıkı lıgı kuu ya Afrıka kusını  PSL.
              Dıda  hakuweza kusaını mkataba wa kuendlea kuıtumıkıa Yanga apewe nafası kwenda kujarıbu  bahati yake nje ya nchı.Awali hakuwa tyarı kuweka wazi tımu anayokwenda.
Wanayanga tunamtakıa kıla la kherı ili afanıkiwe majabrıo hayo.
           kufanıkıwa kwake nı faraja kwetu lakını pıa kufungua njıa ya wachezajı wengne kutoka yanga na Tanzanıa ili kupata nafasi ya kusakata kabumbu nchını humo.

Comments

Popular posts from this blog

SIMBA ILIVYONUSURIKA KUSHUKA DARAJA MWAKA 1989

TUJIKUMBUSHE MECHI KALI KATI YA YANGA NA SIMBA NYAMAGANA 1974?

JINSI YANGA ILIVYOIADHIBU SIMBA MWAKA 1994