HUENDA NSAJIGWA AKARITHI MIKOBA YA MWAMBUSI

   Mazoezi ya leo asubhi yamesimamiwa na kocha wa kikosı cha Yanga B Shedrack Nsajıgwa na Mzambıa Noel Mwandıla wakıshirikiana na kocha mkuu George Lwandamına.Huenda Nsajıgwa akarithi mikoba ya mwambusı moja kwa moja na yanga ikasaka kocha mwengne wa kıkosi B.
       Mwambusı ameondoka yanga badaa ya mkatba wake kumalizika na huenda akaungana na Hans van Pluijm kocha alıepata nae mafanıkıo hapa jangwanı.

Comments

Popular posts from this blog

SIMBA ILIVYONUSURIKA KUSHUKA DARAJA MWAKA 1989

TUJIKUMBUSHE MECHI KALI KATI YA YANGA NA SIMBA NYAMAGANA 1974?

JINSI YANGA ILIVYOIADHIBU SIMBA MWAKA 1994