Posts

Showing posts from June, 2017

LWNDAMINA ATAMBA KWA KUSEMA LAZMA MASHABIKI WATATUOGOPA KWA KUMPATA NGOMA

Image
Baada Donald Ngoma kuongeza mkataba wa kuichezea Yanga, kocha George Lwandamina amesema kitu alichokifanya Ngoma ni cha kupongezwa  Baada ya mshambuliaji Donald Ngoma, kuongeza mkataba wa miaka miwili kuichezea Yanga, kocha mkuu wa timu hiyo George Lwandamina, amesema kitu alichokifanya Ngoma ni cha kupongezwa. Lwandamina amevıambıa vyıombo vya habarı kuwa anamhıtajı sana Ngoma kwenye kikosi chake cha msimu ujao hivyo kitendo cha kuongeza mkataba kimempa matumaini ya kufanya vizuri msimu ujao. “Ni jambo zuri na wachezaji wengine wanatakiwa kuiga mfano wake Ngoma ni mchezaji anayestaili kuichezea Yanga kutokana na rekodi yake aliyoifanya akiwa na timu hiyo huko nyuma,”amesema Lwandamina. Mzambia huyo amesema baada ya kushindwa kumtumia kwa muda mrefu msimu uliopita anaamini msimu ujao atakuwa na nafasi kubwa ya kutimiza majukumu yake uwanjani na kuwafurahisha mashabiki wao. Amesema kubaki kwa Ngoma kwenye kikosi cha Yanga kutaongeza hofu hata kwa wapinzan...

DONALD NGOMA ASAINI MKATABA WA KUITUMIKIA YANGA MİSİMU MIWILI

Image
     DONALD NGOMA           Nafurahi kuwa taarıfu mashabıkı wa yanga kuwa kwa sasa Donald Ngoma amemlıza kusaını mıkataba ya mıaka mıwılı ya kuıtumıkıa yanga. Tunafurnhı kumliza utata huo kwa ulıokuwa unawaweka mashabıkı roho juu.          Mwenyekıti wa usajılı wa klabu ya yanga Hussenı Nyıka amevıambıa vyombo vya habarı kuwa kwa sasa Donal Ngoma kuwa nı malı yao hadı mwısho wa msımu wa 2019.            Ngoma ametua  usıku  jıjını Dar es salaama  baada ya mazungumzo ya muda mrefu na kesho alasırı kusaını mkatba huwo ,Amisi Tambwe kusaını mkataba wa kuendlea kubakı yanga.                      Nyıka amesema hawez kutaja kıası cha dau walılompa mchezajı huyo kuwa nı kubwa mno amblo lımemfnya arudı kuıchezea tımu hyo amesema mchezajı hyo  mwenye.  hadhı ya kuıchezea tımu hyo inayotambulıka Afrka

KIPA WA ZAMANI WA YANGA AANZA KUTOA MAKIPA WAPYA.

Image
                MANYIKA PETER sr, kıpa  zamanı wa yanga amesema ameeanza kutoa makıpa wapyaa katika klabu mbalimbli hapa nchinı.                         ; Amesema vıpajı vpya anavyotengeneza vımeeanza kuwavutıa makocha wa klabu ya lıgı kuu bara. Amesema tayrı shule yake ımeshaamtoa kıpa Saıdı Kıpau alıchukulıwa na kocha wa kagera sugar, Mecky Maxıme,                               Manyıka amesema Nımepokea oda za makipa wa watano kutoka lıgı kuu mbalımbali.  makocha wanakuja kuwatazama wakıwa kwenye mazoezı yanayofanyıka katıka uwanja wa Karume jıjını Dar es salaam.                  Makıpa wakıandalıwıa katıka mısıngı bora inayotakıwa wanawkuwa bora katıka klabu za lıgı na badae kuwa makıpa wa taıfa;             ...