Timu za Ligi Kuu Bara zenye wafuasi wengi kwenye mtandao wa Instagram
Yanga: Wanashika nafasi ya tatu nyuma ya Simba na Azam kuwa na wafuasi wengi kwenye mtandao wa Instagram, in wafuasi elfu 82
Azam: Waoka Mikate hao wa Dar es salaam, wanajumla ya wafuasi 108,000 kwenye akaunti yao ya Instagram, ana shika nafasi ya pili nyuma ya klabu ya Simba.
Simba: Ndiyo klabu yenye wafuasi wengi kwenye mtandao wa Instagram hapa nchini, ina jumla ya wafuasi ya zaidi ya 196,000
Mbeya City: Anazidiwa wafuasi na klabu za Dar es salaam pekee, ana kamata nafasi ya nne baada ya kuwa na wafuasi 64 katika akaunti yake ya Instagram.
Mtibwa Sugar: ana jumla ya wafuasi 38 katika akaunti yake, ana kamata nafasi ya tano kwa klabu zenye wafuasi wengi Instagram.
Azam: Waoka Mikate hao wa Dar es salaam, wanajumla ya wafuasi 108,000 kwenye akaunti yao ya Instagram, ana shika nafasi ya pili nyuma ya klabu ya Simba.
Simba: Ndiyo klabu yenye wafuasi wengi kwenye mtandao wa Instagram hapa nchini, ina jumla ya wafuasi ya zaidi ya 196,000
Mbeya City: Anazidiwa wafuasi na klabu za Dar es salaam pekee, ana kamata nafasi ya nne baada ya kuwa na wafuasi 64 katika akaunti yake ya Instagram.
Mtibwa Sugar: ana jumla ya wafuasi 38 katika akaunti yake, ana kamata nafasi ya tano kwa klabu zenye wafuasi wengi Instagram.

Comments
Post a Comment