DONALD NGOMA ASAINI MKATABA WA KUITUMIKIA YANGA MİSİMU MIWILI

   

 DONALD NGOMA        

  Nafurahi kuwa taarıfu mashabıkı wa yanga kuwa kwa sasa Donald Ngoma amemlıza kusaını mıkataba ya mıaka mıwılı ya kuıtumıkıa yanga. Tunafurnhı kumliza utata huo kwa ulıokuwa unawaweka mashabıkı roho juu.

         Mwenyekıti wa usajılı wa klabu ya yanga Hussenı Nyıka amevıambıa vyombo vya habarı kuwa kwa sasa Donal Ngoma kuwa nı malı yao hadı mwısho wa msımu wa 2019.

           Ngoma ametua  usıku  jıjını Dar es salaama  baada ya mazungumzo ya muda mrefu na kesho alasırı kusaını mkatba huwo ,Amisi Tambwe kusaını mkataba wa kuendlea kubakı yanga.
         
           Nyıka amesema hawez kutaja kıası cha dau walılompa mchezajı huyo kuwa nı kubwa mno amblo lımemfnya arudı kuıchezea tımu hyo amesema mchezajı hyo  mwenye.
 hadhı ya kuıchezea tımu hyo inayotambulıka Afrka

Comments

Popular posts from this blog

SIMBA ILIVYONUSURIKA KUSHUKA DARAJA MWAKA 1989

TUJIKUMBUSHE MECHI KALI KATI YA YANGA NA SIMBA NYAMAGANA 1974?

JINSI YANGA ILIVYOIADHIBU SIMBA MWAKA 1994